Subscribe:

Ads 468x60px

Labels

Showing posts with label NEWS. Show all posts
Showing posts with label NEWS. Show all posts

CHUCHU HANS NI WIFE MATERIAL - VINCENT KIGOSI (RAY)

Muigizaji mahiri wa kiume hapa Bongo, Vincent Kigosi ‘Ray’amefichua siri iliyomfanya kunasa kwa staa mwenzake Chuchu Hans, na hata kupata msukumo wa kumuweka hadharani tofauti na tabia yake ya nyuma ya kutopenda kumuanika mpenzi wake.
Akizungumza na gazeti la Risasi akiwa kwenye tamasha la kimataifa la Filamu ‘ZIFF’ lililofanyika visiwani Zanzibar, Ray alisema kilichomsukuma kumuanika Chuchu ni mambo yake adimu ambayo huwezi kupata kwa mwanamke mwingine.
     Alisema anamuona kuwa na tabia zote za mke, ndiyo maana aliweza kumtambulisha kwa jamii kwa kuwa ana imani naye kwa kila kitu hivyo yuko huru watu kumfahamu.
        “Bwana huyu mwanamke ana vitu vyake adimu sana, na kwa kweli nampenda na ana chembechembe zote za kuwa mke ndiyo maana nilikuwa huru kumuweka wazi bila wasiwasi wowote,” alisema Ray ambaye pia aliwahi kutoka kimapenzi na Johari.

Chanzo:GPL

Bond: Jamani Nibembelezeeni Wastara Nimuoe!

KUTOKANA na ugumu wa masharti aliyopewa na mwigizaji Wastara Juma juu ya kumuoa, msanii Bond Suleiman ‘Bond’ ameomba msaada kwa watu wa karibu hususan upande wa Wastara kumsaidia kumuweka sawa ili atimize lengo lake la kumuoa.

Akizungumza na mwandishi wetu hivi karibuni, Bond alisema Wastara ni mwanamke mwenye kila sifa ya kuwa mke, hivyo endapo atamkosa litakuwa ni pigo kubwa maishani mwake.

Jamani, amenipa masharti magumu sana, ni mwanamke thabiti ambaye nisingependa kumkosa, najaribu kuwatumia watu wetu wa karibu kumuweka sawa, maana ana kila sifa za kuitwa mke, nimekaa naye muda mrefu kama meneja wake, nimegundua mambo mengi sana, nahitaji msaada jamani,” alisema Bond.

Chanzo: GPL

Picha za Ngono za Nay wa Mitego zilizosambaa Mitandaoni Zamtoa Machozi Mchumba Wake


                Siku tatu zilizopita picha ambazo anaonekana mwimbaji Nay wa           Mitego akiwa na msichana kitandani huku wakiwa nusu utupa wakifanya yao   zilisambaa mitandaoni na kuzua sintofahamu kwa mashabiki wake ..

    Habari zilizotufikia zinasema mchumba wa Nay anayejulikana kama Siwema nae aliziona picha hizo na kuzua timbwili kubwa mpaka akaondoka nyumbani kwa Nay Usiku wa manane huku akimwachia Nay Mtoto Mchanga...Nay kesho yake ilibidi atumie juhudi kubwa kumweleza mchumba wake mpaka akaelewa kuhusu hizo picha, inasemekana kwa sasa wako vizuri na wanaendelea na maisha baada ya Siwema kuingizwa KING...

HEMEDY PHD NIMESHA CHAFUA SANA SASA NATAKA KUOA..

 muna akiwa kwenye pozi tata

Msanii wa filamu nchini Hemedy aka PHD mwenye mikogo kuzidi mabilioni ya Dr dre amesema baada ya kuchafua sana sasa anataka kutulia na kuoa kabisa.
        Hemedy alisema hayo alipokuwa akiongea na paparazi, Phd alisema kuwa "Nimechafua sana more than sana nikaona hii bora iishe maana mama yangu anataka vitu ving kutoka kwangu so nimepata msichana ninaye mpenda na yeye ananipenda so natarajia kufunga ndoa mwezi november  huyu ndiyo mchumba wa Hemedy anaitwa  Muna aka Momo
Hemedi akiwa na mchumba wake  Muna

Big Brother Africa: Mshiriki wa Kike wa Tanzania Atolewa.....Kupiga Punyeto hadharani kwamponza, Africa nzima Ilimchukia ndani ya Sekunde!

Mishiriki wa Tanzania, Laveda, jana  alitolewa  rasmi  katika  jumba  la  big  Brother  Africa  na  kuifanya  Tanzania  kubaki  na  mshiriki  mmoja  tu  ambaye  ni  Idris.
  Pamoja na kutoka akiwa na skendo ya kupiga  punyeto mbele ya wenzake, Laveda amesema hakuna anachojutia kwa muda wote aliokaa katika  jumba  hilo .
  “Oh trust me when I say this, I would not change anything! I leaved, I breathed, I showcased who I really am and I cannot change that. I was being me 100% so if I did anything to offend Africa I apologise for that, but that is just purely who I am and it gets very tricky when that is captured on
camera
24/7,”
alijibu Laveda alipoulizwa  na 
Mtandao wa Channel24 wa Afrika Kusini  kama kuna kitu ambacho anatamani angekibadilisha.

        Kutokana  na  maoni  mbalimbali  ya  wasomaji  wetu  wanaolifutilia  shindano  hili  toka  nchi  mbali mbali  za  Africa  kupitia  www.bigbrotherafricans.com, upo  ushahidi  kwamba  kitendo  cha  Laveda  kupiga  punyeto  mbele  ya  wenzake  kiliwachukiza  wengi  na  hivyo  kutaka  aondolewe.
        Tangu  kufanyika  kwa  tukio  hilo  usiku  wa  Ijumaa, waafrika  wengi   hasa  wanawake walionesha  kukerwa  na  kitendo  hicho  wakisema  ni  cha  kudhalilisha, hivyo  ni  bora  Laveda  atolewe  ili  akaendelee  kupiga  punyeto  akiwa  chumbani  kuliko  vile  anavyopiga  punyeto  mbele  ya  wazazi  wake  na  wadogo  zake.
    Yafuatayo  ni  baadhi  ya  maoni  ya  wasomaji  wetu  waliyoyatoa  muda  mfupi  baada  ya  taarifa  za  Laveda  kuwekwa  hadharani.
   Baada  ya  kugundua  kuwa  Africa  nzima  imemchukia  Laveda, Tuliamua  kuandika  habari  ya  kumtetea  kwa  kile  alichokifanya.   
   Habari  hiyo  iliwekwa  katika  mtando  huu  wa  MPEKUZI. Hata  hivyo, ni  habari  ambayo  haikuonyesha  kuzaa  matunda  kama  ilivyokusudiwa  kutokana  na  ukweli  kwamba  Mpekuzi  inawasomaji  wengi  sana  wa  Tanzania  tofauti  na  ilivyo  www. bigbrotherafricans.com  ambayo  inasomwa  Africa  nzima.
    Tunakutakia  Maisha  mema  Laveda, kukosea  ni  kujifunza.Hakuna  aliye  mnyoofu  na  ndo  maana  penseli  ikawekewa  Kifutio.

ANORD KAYANDA & REGINA MWALEKWA WANYAKULIWA NA IDAYA YA KISWAHILI YA BBC

GOOD LUCK BROTHER AND SISTER!


EH! EH! EH! JAMANI KWANI HII NI SODOMA AU GOMORA?