Subscribe:

Ads 468x60px

Labels

Picha za Ngono za Nay wa Mitego zilizosambaa Mitandaoni Zamtoa Machozi Mchumba Wake


                Siku tatu zilizopita picha ambazo anaonekana mwimbaji Nay wa           Mitego akiwa na msichana kitandani huku wakiwa nusu utupa wakifanya yao   zilisambaa mitandaoni na kuzua sintofahamu kwa mashabiki wake ..

    Habari zilizotufikia zinasema mchumba wa Nay anayejulikana kama Siwema nae aliziona picha hizo na kuzua timbwili kubwa mpaka akaondoka nyumbani kwa Nay Usiku wa manane huku akimwachia Nay Mtoto Mchanga...Nay kesho yake ilibidi atumie juhudi kubwa kumweleza mchumba wake mpaka akaelewa kuhusu hizo picha, inasemekana kwa sasa wako vizuri na wanaendelea na maisha baada ya Siwema kuingizwa KING...

0 comments:

Post a Comment

Asante kwa kusoma habari hii! Tafadhali acha tupia maoni yako HAPA!