Subscribe:

Ads 468x60px

Labels

Siku 21 tu Baada ya Kuolewa Aunt Ezekiel AFUMANIWA..


Mh! mara nyingine huwa najiuliza hawa wanojitia kitanzi na kushauriana na nyonyo zao kufunga jikufuli la maisha kwa wale wanaokukuruka nao vitandani! je ni Tamaa ya kummiliki yule mwanaume kwa kuwa anapesa sana au yule mwanamke kwa kuwa ni star na anapesa kiasi chake au kwa kuwa mwanadafada anatukunyuka vema Kitandani? Yote yanawezekana! Naropoka koz haina raha na faida kumuoa mwanamke uliyempenda kwa dhati ukamuoa na kumkabidhi moyo wako! OMUTIMA WAKO, ukamuita mke wangu akakuita mume wangu kwa kuunganishwa na pete za dhahabu katika vidole vyenu vya kushoto kwa ishara kuwa mmepatana, Baaaada ya siku kadhaaaaafrom NO where anatoka mke wako mwenye pete ya DHAHABU mkononi kidole cha pili baada ya kidogo analala/anaenda kuto***/anatukunyuka na mwanaume mwingine tena akiwa na pete yake mkononi!..
    Haya hii ya Aunt nitaifuatilia kwa ukaribu tu baada ya wenzetu kuanza nayo!!
                                 Shukrani kwa gazeti la ijumaa..

0 comments:

Post a Comment

Asante kwa kusoma habari hii! Tafadhali acha tupia maoni yako HAPA!